Tuesday, July 27, 2010

huray MISS REDDS TEMEKE 2010(Genevieve Emanuel Mpangala)


Mtoto wa Katibu wa kamati ya mashindano ya klabu ya Yanga Emanuel Mpangala, Genevieve Emanuel Mpangala ametawazwa kuwa REDD'S Miss Temeke baada ya kuwashinda wenzake kumi na mbili katika katika shindano lililofanyika katika Ukumbi wa TCC Chang'ombe huku shindano hilo likizsindikizwa na bendi ya African Star 'Twanga Pepeta' na bendi ya B-Band ya Banana Zorro, na Mzee Zahir Ally Zoro alikuwepo katika kuhakikisha anatoa burudani katika shindano hilo ambalo mshindi wa pili aliibukuwa ni Upendo Urasa na watatu niAnna Daudi ambao wote watatu ni kutoka katika kitongoji cha Chang'ombe.Mtoto huyo wa Mpangala pia ndiye aliyeibuka mshndi katika shindano la katika kitongoji cha Chang'ombe, Mnyange huyo akiwa na Mama yake alionekana kufurahi sana naye Mama pia alikuwa mwenye furaha pindi mwanaye alipotangazwa kuwa ni mshindi walikuwa wakishangilia muda wote wakiwa na familia yake na marafiki wa karibu wa Genevieve, hurray onwu! alisikika akishangilia mmoja wa watu wa karibu wa gena bwana jamesmwamongi

GENEVIEVE EMMANUEL MPANGALA NDIYE MISS TEMEKE 2010






GENA the indispensable, alie twaa taji la miss temeke 201

2010 the dream come true kwa upande wa warembo umeanza vyema kwa mrembo anaye staili kuchukua taji la miss redds temeke, hivyo kusafisha njia yake ya kwenda kuwabeba watanzania katika mashindano yaumiss duniani...... kazi iliyo baki ni kwa bibie gena kutambua ya kua anabeba jopo la watanzanioa wapenda maendeleo, hivyo apaswa kuangalia mbele ili kutimiza ndoto hiyo iliyo kwisha kuonekana kua yenye kutimia....


james mwamongi.

SHIONDANO HILO LILI KUA MOJA YA MASHINDANO BOMBA KUTOKANA NA UGUMU WA MPAMBANO NA MAANDALIZI MAZURI, yakipambwa na shows mbalimmbali zilizofanyika hususan za warembo wenyewe!

Infolinks In Text Ads

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

we gOt friends too