| Diamonds are forever |
.
| Diamond akiperfom na band ya Odama. |
| Wema Sepetu aliamuka na kwenda kumtunza Diamond lakini mshkaji alikataa kabisa kuichukua hiyo pesa na kujikausha kama hajamuona. |
| Ligi inaendelea.... msimamo ule ule! |
| Bado tu....... |
| Baada ya Diamond kukataa kupokea hizo pesa za Wema, mrembo huyo aliamua kuzitupa chini kwenye stage.... ndio hizo! |
| Akaondoka zake. |
| Baada ya kurudi kukaa Wema alianza kulia (Picha zimetoka djchoka.blogspot.com pamoja na kajunason.blogspot.com) |
| Mc Taji Liundi akimbembeleza Diamond ili aende nae kwa Wema lakini alikataa. |
No comments:
Post a Comment