Halima Mdee Mh. Mbunge wa jamhuri ya muungano wa Tanzania aliejizolea umaarufu mkubwa katika ulimwengu wa siasa nchini, amekua katika macho ya wengi na vyombo vingi vya habari katika shughuri zake na kwa umaarufu wake katika maisha yake binafsi pia, kwa muda sasa Tumekua tukijiuliza juu ya maisha yake ya kimahusiano au kama dada huyo ana mpenzi? Sasa, Mheshimiwa huyo ameweka wazi juu ya swala hilo na kile nachoweza sema kitawastaajabisha wengi, dada huyo ameweka wazi kua mwenza mteule wake ni Mh. Mbunge mpya wa Arumeru mashariki Mh. Joshua Nassari.
“Nafurahi kwamba Nassari hatimaye ameshinda ubunge katika uchaguzi mdogo,” alisema Mdee wakati akihutubia maelfu ya wakazi wa Arusha na Meru juzi katika viwanja vya Leganga kusherehekea ushindi wa chama chake katika uchaguzi huo.
Mdee alifafanua, kwamba yeye na chama chake walikuwa wamebanwa na kampeni za kuhakikisha Chadema inatwaa jimbo la Arumeru Mashariki na ndiyo sababu hakujibu mara moja maombi ya Nassari ya kumwoa aliyoyatoa katika moja ya mikutano yake ya kampeni.
“Naondoka kwenda Dar es Salaam kujiandaa kwa Mkutano ujao wa Bunge, kisha nitakwenda Dodoma ambako nitamsubiri Nassari na kwa pamoja tutafanya maandalizi,” alisema Mdee huku akishangiliwa na hadhira hiyo huku wakiimba na kucheza katikati ya mvua iliyokuwa ikinyesha.
Mdee alisema ndoa kati ya wabunge hao wawili wa Chadema ni wazo zuri na itatangazwa sana na kuandika historia.
Alipoona anashambuliwa sana na wapinzani wake juu ya useja wake katika kampeni hizo, Nassari hatimaye alitangaza kumwoa Mdee ambaye pia hajaolewa
Karibu ON THE COOLS.... we present to you updates on entertainment, eastAfrican expanding out, what we call cool is always is, stay updated with us. advertise with us; 0758100222, jimmynest.mwamongi18@gmail.com
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Infolinks In Text Ads
Popular Posts
-
Also at Annual Bash: Half of LMFAO, Pitbull, Kelly Clarkson, Plus Surprise Guests MTV Lady Gaga 's career came full ...
-
With a calm beat behind he went on it very short but clear that after his death will producer manecky cry?? How will it be?? who will sing ...
-
If you have a soft spot for the 16th President of the United States, then you'll want to tune into the 85th Academy Awards next month. ...
-
Last year, Lil Wayne said he would not work on a song with Justin Bieber , but it looks like things have changed. Bieber told Fuse t...
-
Rick Ross isn’t about to let a little gunfire ruin his special day. On his 37th birthday, the Teflon Don unleashes a freestyle to Kend...

No comments:
Post a Comment