Thursday, April 5, 2012

GODBLESS LEMA AENGULIWA NAFASI YAKE YA UBUNGE

Mbunge wa Arusha Mjini CHADEMA, Godbless Lema

Kesi ya aliyekua mbunge wa Arusha Mh. Godbless Lema hatimae imesikilizwa tena leo ikiwa na mashauri nane yaliyochambuliwa na kumfanya jiji wa kesi hiyo kuhitimisha kwa kum-engua mheshimiwa huyo katika nafasi yake ya ubunge, na hivyo Mr. Godbless Lema si mbunge tena.

 Kesi hiyo iliyofunguliwa Mahakama Kuu Kanda ya Arusha na baadhi ya wanachama wa CCM wakipinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Ubunge Jimbo la Arusha Mjini, imefikia hatua hiyo baada ya kusubiliwa kwa muda sasa.

Akiongea na vyombo vya habri nje ya mahakama hiyo kasema hukumu hiyo ni Hasira Ya viongozi wa juu akimjumuisha Mh. Raisi, waziri mkuu na Mh. William Lukuvi.

Wakitoka mahakamani hapo wananchi waliomchagua mbunge huyo wameonyesha wa kukerwa na  kutoridhika na maamuzi hyo ya mahakama. wametoka kwa maandamano kuelekea katika ofisi za chama (CHADEMA) mkoani hapo na ndiko huko Mh. Godbless atatoa kauli yake pamoja na kauli ya chama, pia ataongea na wananchi na vyombo vya habari. Kwa yatakayo endelea kujili toka mkoani Arusha OTC itaendelea kukujuza...

Wednesday, April 4, 2012

HALIMA MDEE ATANGAZA NIA YAKE YA KUFUNGA NDOA NA NASSARI, Mb. ARUMERU

Halima Mdee Mh. Mbunge wa jamhuri ya muungano wa Tanzania aliejizolea umaarufu mkubwa katika ulimwengu wa siasa nchini, amekua katika macho ya wengi na vyombo vingi vya habari katika shughuri zake na  kwa umaarufu wake katika maisha yake binafsi pia, kwa muda sasa Tumekua tukijiuliza juu ya maisha yake ya kimahusiano au kama dada huyo ana mpenzi? Sasa, Mheshimiwa huyo ameweka wazi juu ya swala hilo na kile nachoweza sema kitawastaajabisha wengi, dada huyo ameweka wazi kua mwenza mteule wake ni Mh. Mbunge mpya wa Arumeru mashariki Mh. Joshua Nassari.

                                                                                                                           
“Nafurahi kwamba Nassari hatimaye ameshinda ubunge katika uchaguzi mdogo,” alisema Mdee wakati akihutubia maelfu ya wakazi wa Arusha na Meru juzi katika viwanja vya Leganga kusherehekea ushindi wa chama chake katika uchaguzi huo.

Mdee alifafanua, kwamba yeye na chama chake walikuwa wamebanwa na kampeni za kuhakikisha Chadema inatwaa jimbo la Arumeru Mashariki na ndiyo sababu hakujibu mara moja maombi ya Nassari ya kumwoa aliyoyatoa katika moja ya mikutano yake ya kampeni.

“Naondoka kwenda Dar es Salaam kujiandaa kwa Mkutano ujao wa Bunge, kisha nitakwenda Dodoma ambako nitamsubiri Nassari na kwa pamoja tutafanya maandalizi,” alisema Mdee huku akishangiliwa na hadhira hiyo huku wakiimba na kucheza katikati ya mvua iliyokuwa ikinyesha.

Mdee alisema ndoa kati ya wabunge hao wawili wa Chadema ni wazo zuri na itatangazwa sana na kuandika historia.

Alipoona anashambuliwa sana na wapinzani wake juu ya useja wake katika kampeni hizo, Nassari hatimaye alitangaza kumwoa Mdee ambaye pia hajaolewa

Monday, April 2, 2012

Nicki Minaj Encourages Barbs Not To Be Afraid To 'Experiment'

'Little girls can aspire to be anything and that's all I want people to see,' (Minaj)

If Nicki Minaj ever decided to walk away from music, maybe she should consider a second career as a scientist of some sort. Hardly a stranger to experimentation, rap's reigning queen seems to stand as an evolving amalgamation of her quirky fantasy-based creations. Nicki throws the different paints of her colorful imagination up against the wall just to see what sticks, as evidenced on the album cover to her sophomore LP, Pink Friday: Roman Reloaded.
Since she first jumped onto the scene, Nicki has encouraged her dedicated fanbase to live out their wildest dreams. MTV News caught up with the Young Money superstar right after she performed to open the 2012 NBA All-Star Game in February. We asked her what it meant to be ranked in the top five of our annual Hottest MCs in the Game list.
"If there's one thing I want people to take away from it, it's just that little girls can aspire to be anything, and that's all I want people to see," Nicki said between deep breaths, still winded from her energetic All-Star performance. "Whether you follow Nicki Minaj's blueprint or not, just don't be afraid to experiment and don't allow people to knock your hustle just 'cause it ain't something that you're used to seeing."
From her theatrical flow to her outlandish fashion sense, Nicki Minaj has definitely given fans things that they've never seen before. Who can forget when she gave both Jay-Z and Kanye West a lyrical run for their rap money on 2010's "Monster," or Nicki's anime-inspired VMA outfit?
In theory, Nicki's rap success should open the doors for more female MCs to be signed and fill hip-hop's gaping feminine void. Since the Harajuku Barbie's rise to prominence, women rappers like Kreayshawn, Iggy Azalea and Azealia Banks have all made notable strides. "That's what I like," Nicki said about her number-four placement on the Hottest MCs list. "I like that I'm there because it gives little girls in Southside Jamaica, Queens, or South Africa or Brazil a moment to say, 'Oh wait, I can be a female rapper!' Yes, you really can."

To celebrate the April 3 release of Pink Friday: Roman Reloaded, we will be examining the "Evolution of Nicki Minaj" throughout the week. Check MTV News every day to see how the Southside Jamaica, Queens, Barbie went from a promising mixtape standout to rap's reigning queen.

Original Source 

NONINI TO HELP MORE ALBINO KIDS

Nonini together with his Prohabo Team (Mwihaki Lilz,Catherine,Ngash Mtrue),Big Ideas (Willie Owusu,Aleks Kamau),Kisara,Ronny,Sound Team and A.S.K's representative Alex! Went to Thika Primary & Secondary School for the blind to specifically donate sunscreen lotions to the students with Albinism.

Children living with albinism are more susceptible to skin cancer as the suns ultra-violet rays penetrate through their skin. Hence for people living with albinism,sunscreen lotions are a matter of life and death. Sadly, however, not all Persons living with albinism are as lucky, which is why Nonini is motivated to help lobby their cause through his music and Colour kwa Face Campaign.

It was a special day for the Kids because they got to mingle with there favorite celebrity the godfather as he performed for them but the motivational talk was what they will live to remember. But for Nonini distributing the sunscreen lotions and just putting a smile on the kids face was all he needed on this day which was also special to the Raprenuer because it was his Late Bro's Birthday Jude Mwinduko!

NB: <<

Nonin at Thika Primary & Secondary School

Nonin at Thika Primary & Secondary School

Nonin at Thika Primary & Secondary School

YAMETIMIA, CHADEMA WACHUKUA JIMBO ARUMERU!

Joshua Nassari
Mgombea wa kiti cha ubunge Arumeru kupitia Chadema katika uchaguzi mdogo wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari ameibuka mshindi wa kura hizo.
Nassari ambaye alishindwa katika uchaguzi mkuu uliopita na marehemu Jeremiah Sumari, aliibuka kidedea katika kura hizo zilizopigwa jana katika jimbo hilo baada ya kujizolea kura 32,972 akifwatiwa na mpinzani wake mkuu kupitia CCM aliye jizolea kura 26,757.

Awali Muasisi wa Chadema, Edwin Mtei na mjumbe wa Kamati Kuu ya chama hicho, alitamba kuwa chama hicho kitashinda katika uchaguzi huo kwa kuwa kina sera za kisanyansi zinazozingatia mambo yanayohitajika na wananchi. Alisema hakuna kulala mpaka kieleweke Arumeru na kusisitiza kuwa hata mafisadi wakimwaga fedha Chadema wanatumia mbinu ya kisanyansi zaidi kupata ushindi.
Kauli hizo zimepata baraka alfajiri ya leo kijana mdogo sumari alipotangazwa rasmi kuwa ndi mrithi wa Sumari, ambeye tunamuombea pumziko jema mbele ya haki.

 OTC tunamtakia kila la kheri na utekelezaji mwema wa ahadi alizoziweka wakati wa kampeni.

Sunday, April 1, 2012

ILIVYOTOKEA KWA DIAMOND NA WEMA, KWENYE DIAMONDS ARE FOREVER SHOW BY DIAMOND


Diamonds are forever
.
Diamond akiperfom na band ya Odama.

Wema Sepetu aliamuka na kwenda kumtunza Diamond lakini mshkaji alikataa kabisa
kuichukua hiyo pesa na kujikausha kama hajamuona.
Ligi inaendelea.... msimamo ule ule!

Bado tu.......

Baada ya Diamond kukataa kupokea hizo pesa za Wema, mrembo huyo aliamua kuzitupa chini kwenye stage.... ndio hizo!

Akaondoka zake.

Baada ya kurudi kukaa Wema alianza kulia (Picha zimetoka djchoka.blogspot.com pamoja na kajunason.blogspot.com)

Mc Taji Liundi akimbembeleza Diamond ili aende nae kwa Wema lakini alikataa.

Infolinks In Text Ads

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

we gOt friends too