Tuesday, July 12, 2011

LUDA FOR TANZANIA...

Mwanamuziki mahiri wa miondoko ya Hip hop ambaye pia ni muigizaji wa Filamu kutoka nchini Marekani ajulikanae kwa jina la Christopher Brian Bridges aliyezaliwa mnamo Septemba 11, 1977,ambaye pia anajulikana zaidi kwa jina la kisanii kama Ludacris, anatarajiwa kushuka nchini Tanzania na kuangusha bonge la shoo kwenye tamasha la miaka kumi ya msimu wa dhahabu unaoendelea na serengeti Fiesta 2011.

It's a Fresh vibe from Tanzania that Atlanta based Hip Hop American super star Ludacris is slated for Dar er Salaam performance for dates and venue to be confirmed later.  


ALSO Luda has
Added to queue Tanzanian albinos targeted for their body partsby ... 
saying;

"It's my mission journey throughout the years"

Luda's Mission Journey 2003-now‏




   

No comments:

Post a Comment

Infolinks In Text Ads

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

we gOt friends too