Saturday, July 28, 2012

James Mwamongi: Where are you now?

  WAYN
Hi,

You have yet to confirm whether you would like to connect with James Mwamongi.

Please choose from the following options:

    Accept         Reject    

Regards,
The WAYN Team
To stop receiving requests from James, click here
To stop receiving any notifications from WAYN, click here

Thursday, July 26, 2012

YANGA YAFUZU FAINALI, KOMBE LA KAGAME

Kikosi cha Mabingwa Watetezi Kagame Cup 2012


Yanga wameibuka kidedea katika mchezo wa kufuzu nusu kombe la kagame, wakikichapa na APR ya Rwanda.

Timu zote zilifanya vema haliyo changia kutoka sare ya bila kufungana kwa dakika 90 za mchezo, hali iliyopelekea koungezwa kwa dakika 30 na ni katika hizo,Dakika ya 10 Hamis Kiiza aliwainua mashabiki wa Yanga kwa kupachika bao la kwanza na lililodumu mpaka mwisho wa mchezo huo nakuifanya Yanga mabingwa wa mchezo huo. picha zitawekwa punde.

KWA WALE FANS WA BEYONCE... MPO TAYAARIIII???


Tayari na nini?... hakuna mmoja wetu aliye na uhakika pia, lakini kuna jambo linakuja kutoka kwa mwana dada Beyonce. Nathubutu sema hivyo kutokana na kile alichokiandika mwana dada huyo kwenye website yake ”Leave Your Footprint On August 19th, 2012,” akiashiria kuna jambo flan lina kuja tarehe hiyo, je ni single mpya? video mpya? au movie? naam OTC tuko pamoja nawe kukujuza yatakayojiri...


                                 Mwongi james

MUZIKI: (LYRICS) MASKINI WENZANGU BY MANGWEAR



BOFYA LINK CHINI KUSOMA

Tuesday, July 24, 2012

SHEREHE ZA UZINDUZI WA MASHINDANO YA ULIBWENDE DUNIA ZAFANYIKA LEO!

Miss World 2012 imeanza kwa tamasha rasmi na sherehe ya ajabu, iliofanyika katika uwanja wa Dongsheng huko Ordos China.

 Wiki iliyopita washiriki wote wamekuwa na maandalizi mazito ya kijijenga . Wagombea wamekuwa busy na rehearsals, FITTINGS Costume, urembo wa nywele na majaribio ya kufanya make-up wiki iliyopita. Asubuhi ya leo ilikuwa ni ya mwisho kwa njia ya maandalizi.

 Tanzania imewakilishwa na Lisa Peter JENSEN. Lisa kakulia Musoma- Bunda na angependa kuwa designer. Hobbie zake ni pamoja na kusoma, kuogelea na kusafiri. Yeye anapenda jadi na muziki, na anajiita mtu mnyenyekevu ambaye anapenda kuwasaidia watu, akiyathibitisha hayo kwa motto aloenda nao 
      "Do good and good will be done to you too."
Lisa Peter JENSEN
Wote tunasubiri kwa hamu fainali za mashindano hayo na OTC hatutochoka kukujuza. Goodluck to Lisa na Mungu aibariki Tanzania. Endelea chini kwa kubonyeza link upate picha za matukio ya sherehe hiyo ya ufunguzi...


Monday, July 23, 2012

Katherine Jackson Ain't missing as it was reported

It was  yesterday, disclosed that Katherine Jackson was reportedly missing.

Katherine Jackson has spoken to police, and she is not in danger … TMZ has learned.

Law enforcement sources tell TMZ police were able to make contact with Katherine today … and she informed them “she is fine and with a family member.”

Another source tells us she is Arizona.
The LA County Sheriff’s Department has been investigating Katherine’s whereabouts since she was reported missing late Saturday night.
We’re told the Sheriff’s Dept. is still speaking to Jackson family members to find out exactly why Katherine’s nephew filed the missing person report in the first place.

Tuesday, July 17, 2012

VIDEO: Behind The Scenes Of Lil Wayne’s “My Homies Still” Video Shoot


ON SET OF LIL WAYNE feat BIG SEAN "MY HOMIE STILL" from DERICK G on Vimeo.


some behind the scenes footage from the video shoot that you can watch in the clip above.
Weezy can be seen shooting his skateboarding and movie theater scenes, along with Birdman, Mack Maine, PJ Morton and his daughter Reginae Carter making cameos. Enjoy!

Infolinks In Text Ads

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

we gOt friends too