Sunday, April 15, 2012

KILIMANJARO MUSIC AWARDS 2012 JUST GOT AIRED

  • MILLARD AYO HOSTED

  • ROMA TURNS OUT BEST HIP HOP ARTIST

  • DIAMOND, WINS THREE

  Singer Diamond receiving his award from George Kavishe - the manager Kilimanjaro beer
 
Msanii  Nassib Abdul ‘Diamond’ usiku huu ameng’ara kwenye tuzo za Kilimanjaro Music Award, baada ya kujinyakulia tuzo tatu.
“Namshukuru Mungu, wakati mwingine uvumilivu na subira ni mzuri. Mwaka jana sikupata tuzo, nikamshukuru Mungu, nikaongeza bidii, nikafanya kazi nzuri, leo ninachukua tuzo ya tatu sasa hivi, alisema Diamond baada ya kushinda tuzo ya Video Bora ya Mwaka, kupitia wimbo Moyo Wangu, ambayo ilikuwa ya tatu usiku huu.
Diamond alizishinda nyimbo za Hakunaga ya Suma Lee, Wangu ya Jay Dee, Ndoa Ndoana ya Kassim na Bongo Fleva ya Dully Sykes.
Diamond, his mom n fans
 
Malkia Khadija Omar Kopa on stage
 
the queen thanking fans
 
 
Roma mkatoliki turned out the best HIP HOP artist
THT entertainers
 
Ray C stage out too...
THE NIGHT BECAME EVEN MORE FUN
 Diamond, Chokoraa and omy Dimpos performing as the Msondo
H Baba babaring himself out...
 
P. funk and Jay mo

Alikiba thanking fans

Kundi la THT likitumbuiza katika tuzo hozo usiku huu.
Wadau wakiwa katika hafla hoiyo ya kutoa tuzo za muziki kutoka kulia ni Steven Nyerere mchekeshaji, Meneja huduma kwa wateja wa Multchoice Ronald Shelukindo, Frank Mgoyo na wadau wengine.
  Comedian Steve Nyerere in a picture with Sinta of the Bongo movies.

  Redds manager Vicktoria  Kimaro with friends enjoying the shows


No comments:

Post a Comment

Infolinks In Text Ads

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

we gOt friends too